jamii

Taarifa za Harusi

2:34 AM tibazetuasili 0 Comments





Wana Azapound mnataarifiwa ya kwamba wenzetu, Godfrey Mnzava, Ntimi Mwakipake na Adonis Shoo bila kumsahau Ayubu Misheli kwa pamoja wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni katika siku tofauti tofauti hivyo wanaAzpound tunaombwa kuwapa support wenzetu kuelekea katika tukio hilo kubwa. Azaniaalumni2000 imeweka utaratibu wakuawachangia zawadi wenzetu hao kwa kila Member kuchangia Tsh 30,000/-.Pia Mwana Azapound unaombwa kutoa Mchango wako binafsi kulingana na Moyo wako katika hilo.

You Might Also Like

0 comments: