michezo

HAYA NDIO MATOKEO YA MECHI ZA LEO EPL

11:38 AM tibazetuasili 0 Comments


Ligi ya Uingereza imeendelea leo baada ya jana timu ya Manchester United kuendeleza wimbi la ushindi baada ya kuifunga AstonVilla 0-1 bao lililofungwa na mshambuliaje wake Adnan Januzaj.






Mechi za leo zilikutanisha timu 6 za ligi hiyo na matokeo mpaka mwisho wa mechi yalikuwa kama ifuatavyo.

FULL TIME SCORES

Southampton 0-3 Everton

Sunderland 1-3 Norwich

Swansea 2-0 Newcastle

Tottenham 2-2 Stoke

Watford 0-0 West Brom

West Ham 1-2 Leicester



Alikuwa ni mshambuliaji kutoka ubelgiji Romeo Lukaku aliyeiwezesha Everton kuibuka na ushindo mnono baada ya kufunga magoli mawili kipindi cha kwanza dakika ya 22 na 45 na kuiwezesha Everton kuibuka na ushindi wa goli 3 -0 , R.Barkley alihitimisha goli la tatu dakika ya 82.









Kesho Ligi hiyo inatazamiwa kuendelea pale Manchester City itakapo ikaribisha Chelsea na Crystal Palace itakapo ikaribisha Arsenal.

You Might Also Like

0 comments: