Uchumi

KWAKO MWANA AZANIAALUMNI2000

10:59 AM tibazetuasili 0 Comments


Mwana Azapound unakumbushwa kuanza kuwekeza Fedha kama maazimio ya uwekezaji katika ardhi yalivyofikiwa hapo awali,unahimizwa kutekeleza adhimio hilo ili kuendana na muda uliopangwa kutoa kwako kwa wakati ndio mafanikio ya maadhimio hayo. 

Taarifa na mahali pakupeleka Fedha hizo ni Post Bankkupitia  AZANIA ALUMNI 2000 A/c no: 111-00000367 Tafadhali mara ukamilishapo uwekaji wa fedha hizo wasilisha stakabadhi yako  kwa Muweka Hazina wa Azaniaalumni200 ndugu Ntimi Mwakipake.



TUWEKEZE KWA FAIDA YETU NA VIZAZI VIJAVYO. 

You Might Also Like

0 comments: