michezo

HIKI NDICHO CHELSEA WALICHOKUMBANA NACHO KUTOKA KWA MAN CITY

11:59 AM tibazetuasili 0 Comments




Hatimaye ile mechi iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu na kupewa jina la Super Sunday imemalizika kwa Mashabiki wa Chelsea kuondoka vichwa chini baada ya kuambulia kipigo takatifu kutoka kwa Man City.


Alikuwa ni Sergio Aguero aliyefungua ukarasa wa mabao katika kipindi cha kwanza dk 32 kwa kuichambua ngome ya chelsea na kutumbukiza mpira kimiani.









vicent Kompany dakika ya 79 aliongeza bao la pili na dakika tano kabla ya filimbi ya mwisho Fernandinho alihiitimisha bao la tatu katika mchezo huo.






Katika mechi iliyochezwa awali Arsenal walifanikiwa kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Crystal Palace magoli ya  kifungwa na Giroud na Damien Delaney (OG ) baada ya Alex sanchez kutoa kashikashi  wakati goli la kufutia machozi la CP lilitupiwa kimiani na  Ward







You Might Also Like

0 comments: