jamii

Pumzika kwa Amani Mzee wetu

10:12 AM tibazetuasili 0 Comments


Mazishi ya Baba Mzazi wa Mwana azapound  Ntimi Omega Mwakipake yamefanyika leo katika makaburi ya kinondoni,wengi wa azaniaalumni2000 members walijitokeza katika mazishi ya kumpuzisha mzee wetu katika nyumba yake ya milele, Familia  inatoa shukrani kwa wale wote walioshiriki katika mazishi kwa namna moja au ingine.Azapound members mliojitokeza mnaombwa kudumisha moyo huohuo na kwa wale waliokosa muda kwa namna moja au ingine nao wanaombwa kudumisha umoja ulionyeshwa katika siku za hivi karibuni.Rest In peace Mzee Wetu




Members wa Azaniaalumi2000 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mazishi   kumalizika, hakika ni faraja kubwa sana 






You Might Also Like

0 comments: