Uchumi

TAARIFA NJEMA

8:26 AM tibazetuasili 0 Comments





Habari ya muda huu family members.

Napenda kuwapa taarifa kuwa lile zoezi letu lililokuwa linasubiria kwa hamu, hatimae limekamilika leo. Azania Alumni 2000 imepata akaunti yake katika benki ya posta (TPB) TANZANIA POSTAL BANK, details za account ni kama ifuatavyo; A/c name: AZANIA ALUMNI 2000 A/c no: 111-00000367 Napenda nipongeze jitihada na uvumilivu wetu sote, katika kuhakikisha jambo hili linakamilika, HIZI NI SIFA ZINAZOMSTAHILI KILA MMOJA WETU. 


Ahsante sana Mwinyi Hassan,


You Might Also Like

0 comments: