Uchumi

KWAKO MWANA AZAPOUND

11:36 AM tibazetuasili 0 Comments


"TPB ndio mpango" hii ndio kauli mbio ya sasa, ewe mwana  Azapound popote ulipo kamilisha lile adhimio lililowekwa kwa kutupia mkwanja kwenye bank kongwe ya Posta kila mwezi ili kufikia lengo letu la kumiliki Ardhi, Tupia 85,000/- au na zaidi kwa muda usiozidi mwaka moja ili tuwape ulithi wale watakaokuja.

Tuache  kuchungulia makaratasi haya,Thamani yake uonekana kwa kile ulichoekeza.

TPB NDIO MPANGOOOOOOOOOOOOO!!!!!!


You Might Also Like

0 comments: