Uchumi

FAHAMU YALIOJIRI MJADALA WA UCHUMI...SACCOS VS ARDHI UWEKEZAJI

11:02 PM tibazetuasili 0 Comments


Kamati ya Uchumi na Maendeleo ya Azaniaalumni 2000 tar 02/10/15 hadi 03/10/15 iliendesha Online Meeting kwa siku mbili kupitia Whatsapp kuhusiana na uwekezaji, Agenda kuu ilikuwa ni kujadili kipi kati ya SACCOS na ARDHI kipewe kipaumbele katika hatua hizi za mwanzo za Azaniaalumni 2000 katika kujikwamua kiuchumi.

Mjadala ulikuwa mkali sana wajumbe walipata nafasi ya kutoa mawazo yao kuhusu Ajenda  hiyo, wapo waliosema SACCOS ndio kimbilio la wengi na baadhi wakisema ARDHI ni madini yasio oza ama kwa hakika mjadala ulileta changamoto kubwa.





Majibu ya Mjadala huo kipi kianze kati ya SACCOS au ARDHI ama vyote kwa pamoja utaamuliwa na kamati ya Uchumi na Maendeleo baada ya kukaa na kujadili kwa kina mapendekezo ya wajumbe wote waliochangia. Usipitwe na majibu hayo endelea kutembelea www.azaniaalumni2000.blogspot.com kwa habari zaidi.

You Might Also Like

0 comments: