Uchumi

MWANA AZAPOUND NIMEKULETEA LIST ZA BIASHARA MBALIMBALI..KAMATA MOJA TWENZETUU

12:03 PM tibazetuasili 0 Comments


Mwana Azanialumni2000 wengi huumiza vichwa kutafuta Business Idea kwa ajili ya kuanzisha biashara leo NIMEKULETEA LISTI YA FURSA ZA BIASHARA NA MIRADI MBALIMBALI kaa chini set your goal weka nia anza safari sasa,

1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 
2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali 
4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali. 
5. Kuanzisha kituo cha redio na televisheni 
6. Kufunga na kutengeneza vifaa mbalimbali vya electroniki na mawasiliano mfano; compyuta na vifaa vya compyuta na mawasiliano. 
7. Kuuza software; mfano Antivirus, Operating Systems, Pastel, Tally, Myob, n.k 
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo mpya; suit, socks, batiki, nguo za asili, Mashuka, Mashati, Suruali, 10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe, Kuku, Bata, na wengine. 
11. Kufungua stationery, kuuza (supply) vitabu na vifaa mbalimbali ktk mashule na vyuo. 
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo, kutengeneza popcorn na kuziuza. 
14. Kusajili namba za simu na kuuza vocha 
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki zisizotumia mafuta na zinazotumia mafuta 
16. Kilimo cha mazao mbalimbali kulingana na hali ya hewa ya sehemu husika. 
17. Kuuza Mitumba 
18. Kusimamia miradi mbalimbali 
19. Kufungua duka la kuuza mitambo mbalimbali 
20. Kufungua banda la chakula na chips 
21. Kukodisha turubai viti na meza 
22. Kufungua Supermarket 
23. Kufungua Saluni 
24. Kufungua Bucha 
25. Video Shooting & Editing. 
26. Kufungua Internet cafe 2
7. Duka la kuuza matunda 
28. Kufungua duka la kuuza vifaa vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya ujenzi; cement, vifaa vya umeme, duka la mabati 
30. Kutengeneza michoro mbalimbali ya majumba na miradi ya ICT 
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k 
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi (Building contractor) 
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa nishati ya jua (solar) ,battery, inverter na vifaa vingine vya solar n.k 34. ** Kuuza maji kwa jumla na rejaleja. 
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa lishe bora. 
36. Kukodisha Music 
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi 
38. Kuanzisha mradi wa Daladala 
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta, laptops, converters, HDDs, Monitors, Softwares, CD Copiers na vifaa vingine. 
40. Kununua magenerator na kukodisha 
41. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za simu 
42. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za internet (ISP) 
43. Kuuza mabati na vigae 
44. Kujenga apartments 
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya taa au mafuta ya aina zote 
46. Kufungua Duka la samaki 
47. Kufungua Duka la nafaka 
48. Kufungua Shule za Awali, Shule za Msingi, Sekondari na Vyuo. 
49. Kujenga hostel 
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya DStv, Zuku, Startimes, Easy TV, TNG, Digitech, Continental. 51. ** · Kujenga mtambo wa kuzalisha umeme na kuuza katika viwanda na wananchi. 


52. Ufundi simu 
53. Kufungua Hospitali, Zahanati. 
54. Maabara ya Macho, Meno 
55. ** Kuchimba/Kuuza Madini 
56. ** Kufungua ofisi ya kutoa huduma ya simu na fax 
57. Kuuza miti na mbao 
58. Kufungua Grocery 
59. Kufungua studio ya kupiga na kusafisha picha 
60. ** Kucharge simu/battery 
61. Duka la TV na vifaa vingine 
62. Kuanzisha biashara ya kuuza vyakula katika sherehe na tamasha mbalimbali (catering). 
63. Banda la kupigisha simu 
64. Kuuza na kushona Uniform za shule 
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu kwa jumla.
 66. Kufungua gereji za kutengeneza bajaji, pikipiki na magari 
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake, jembe 68. Kuuza fanicha 
69. Kufungua sehemu ya kuziba pancha za matairi ya magari na mitambo. 
70. Kujenga nyumba za kulala wageni (hotel) 71. Kuagiza na kuuza vifaa vya aluminium. 
72. Kuuza vioo 
73. Kushona na kukodisha nguo za harusi 
74. Kufungua yard kwa ajili ya kuosha magari 
75. Kuuza mashine za kuchomelea (welding machine). 
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site (boots, helmets etc) 
77. Kununua mabasi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi 
78. Kufungua studio ya kutengeneza vipindi vya redio na televisheni 
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya televisheni (TV Games) 
80. Kufungua benki 81. Kuwa na malori ya kubeba kokoto na mchanga 
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV Camera, n.k 
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali 
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha fork lift na winchi (crane) 
85. Kuanzisha kiwanda cha kutengeneza viatu. 
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali 
87. Duka la vifaa vya simu na gadgets mbalimbali zinazoendana na mawasiliano ya Vodacom, TTCL, AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k. 
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha kwa sherehe, mikutano mbalimbali 
89. Kununua matrekta, mitambo ya ujenzi wa barabara na kukodisha 
90. Kutengeneza antenna na kuuza 
91. Kufungua mradi wa Machine za kusafisha, kutoboa na kuchana mbao 
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa vya Umeme wa kutumia upepo 
93. Biashara ya kuagiza magari 
94. Kufanya biashara za Jukebox 
95. Kukodisha matenki ya maji** 
96. Kufungua duka la kuuza Asali 
97. Kutengeneza Mikokoteni/ matoroli na kuikodisha 
98. Kufungua Duka la vinyago, batiki 
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY PESA 
100.Kuanzisha sehemu ya kufanyia mazoezi (Gym). 
101. Kununua na kuuza vifaa vya kupima ardhi. 
102. Kufungua duka la kuuza dawa (pharmacy). 
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi 
104. Kufungua kampuni ya "Clearing and fowarding" 
105. Kuchezesha vikaragosi 
106. Kuuza spea za bajaji, magari na pikipiki 
107. Kuuza baiskeli 
108. Kuuza magodoro 
109. Kuuza vyombo mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya nyumbani mfano bakuli, sahani, vikombe, vijiko, 
110. Kuuza marumaru (limestones) 
111. Kuuza kokoto 
112. Kuuza mchanga 
113. Kufundisha Tuisheni 
114. Biashara za bima 
115. Kampuni ya kusafirisha abiria kwa njia ya anga (ndege) 
116. Biashara za kitalii 
117. Biashara za meli na maboti. 
118. Kampuni ya kuchimba visima 
119. Kufungua ofisi ya wakili/mawakili wa kujitegemea 
120. Kuuza mkaa 
121. Kutengeneza mashine za kutengeneza tofali 
122. Kampuni ya kupima ardhi 
123. Kampuni ya magazeti 
124. Kuchapa (printing) magazeti 
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta 
127. Kiwanda cha kutengeneza mabati 
128. Kiwanda cha kutengeneza fanicha 
129. Kiwanda cha kutengeneza matairi 
130. Kutengeneza vitanda vya chuma 
131. Kununua nyumba katika Maghorofa (Apartments) na kuzikodisha. 
132. Kukodisha makapeti 
133. Kupamba maharusi na kumbi za harusi/sherehe. 
134. Mashine ya kusaga na kukoboa nafaka. 
135. Kazi ya ususi na kusafisha kucha. 
136. Kuuza Gypsum 
137. Malori ya kubeba mafuta na Mizigo 
138. Duka la kuuza mboga za majani 
139. Duka la kuuza maua. 
140. Kampuni ya kuzoa takataka 
141. Kampuni ya kuuza magari 
142. Kuuza viwanja 
143. Uvuvi 
144. Kutengeneza na kuuza nguzo za kujengea fensi 
145. Uchoraji wa mabango. 
146. Duka la kuuza silaha 
147. Ukumbi wa kuonesha mpira 
148. Biashara ya mlm (network marketing) 
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari 
150. Mradi wa trekta za kukodisha kwa ajili ya kilimo


KAMA YOTE HAYA UMESHINDWA KUPATA LA KUFANYA, MWANA AZAPOUND BASI TUENDELEE KUWA WAAJILIWA WA SERIKALI NA TUSUBILI KUSTAAFU TU.

You Might Also Like

0 comments: