Uchumi

FUKAYOSI : TUMAINI JIPYA KWA WENYE NIA YA KWELI AZANIAALUMNI

7:14 AM tibazetuasili 0 Comments





Kila penye nia pana njia ndio kauli pekee ifaayo kuanza nayo, ama kwa hakika FUKAYOSI naweza kusema ndio tumaini jpya kwa wana Azaniaalumni wenye nia ya kweli ya kutaka kusonga mbele kimaendeleo, kila jambo la maendeleo linahitaji juhudi na kujitolea ili liweze kufanikiwa napenda kuwashukuru wana Azaniaalumni wote waliokuwa na nia ya kweli katika kujikwamua kiuchumi na kuwezesha kupiga hatua hii.


kutoka kushoto ni Said Mselem, Francis Ambali, Godfrey Lutare, Mwinyi Hassani ( Mwenyekiti- AzaniaaLumni2000) na Simon Matere ( Katibu-Azaniaalumni2000)  wakikagua shamba la FUKAYOSI Mjini Bagamoyo


timu ya awali iliyokwenda kufanikisha umiliki wa shamba la FUKAYOSI kutoka Kushoto ni Issa Masoud, Joseph Mwaisemba( Mwenyekiti kamati ya Uchumi) Simon Matere ( Katibu-AA200)  Hilorims Mayombo, Mwinyi Hassani ( M/Kiti-AA2000) na Dr. Ramadhan Idd


Mwenyekiti wa Uchumi Ndugu Joseph Mwaisemba akitia saini  hati ya Kijiji kukamilisha ununuzi wa shamba hilo.

Ikawa zamu ya Mwenyekiti wa AA2000 Ndugu Mwinyi Hassani kuweka ushahidi wake wa kimaandishi.

Deal Done!!!! Mmiliki wa shamba akitia saini ya dole gumba kukubali kuamisha umiliki wa shamba lake kwenda kwa wana AA2000



Money Make the World go round!!! zoezi likahitimishwa kwa makabidhiano ya kiasi cha fedha kilichokubaliana mbele ya serikali ya mtaa


Ikafika zamu ya wawakilishi wetu kukabidhiwa shamba kwa kuoneshwa mipaka stahili, na hapo tumaini jipya likafufuka, 

FUKAYOSI ndio yetu MOSI ...........

Mengi twatumaini..........

You Might Also Like

0 comments: