jamii

TANZIA

3:15 AM tibazetuasili 0 Comments

Familia ya Azaniaalumni2000  imepata pigo kubwa sana kwa kuondokewa na mwanafamilia wake ELIA FUNGO alie fariki alfajiri ya leo tarehe 22/08/16 katika hospitali ya muhimbili aliko kuwa amelazwa baada ya kupata ajali ya gari tarehe 19/08/2016. Bwana Ametoa na bwana ametwaa jina lake lihidimiwe. Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani kwao Kimara alipokuwa akiishi.



Marehemu Bwana Elia Fungo enzi za uhai wake.
  

You Might Also Like

0 comments: